Jaydee mimi huwa sicomment kila nikiingia hapa nasoma na kusonga ila leo naomba niseme kitu kimoja kuhusu huyo dada mara ya kwanza nilimuona katika kipindi cha Nirvana nikaja kumuona pale ubalozi yeye na mumewe kiukweli She is Beautiful.Tuache kuwa negative kama kitu kizuri watu tuseme tu hata kama hupendi huo ndio ukweli na utabaki kuwa ukweli.Nice couple na mmependeza.Asante
Mhhh jamani huyu Mdada ni Mzuri she is young, beautiful and everything ...hongera Bibie na hongera Kinjekitile kwa kuchagua chombo khaa! please Mpe One Love Mtoto wa watu
tatizo hawana uwezo wa kitu chochote kazi yao kutegemea vya watu hao washamba wote wanaotukana humu wakafungue blog zao basi kama ze utamu mbona wanaogopa kama kweli wao majasiri? hongra Kinje na Anita watasema sana ila ndio imesha andikwa, poleni wasichana wa mujini
Dada,mbona mimi wa2 waliniponda kuwa napigwa na mke wangu(kitu ambacho ni kweli)uliruhusu comments hizo kwenye blog.....si uruhusu tu jamani! acha ubagusi aisee Manka!...raha ya blog ni comments za wadau
Sasa wewe mwenyewe si umeshasema ni kweli unapigwa na mkeo na kwakuwa nililitambua hilo ndio maana niliziachia kwakuwa najua unafurahia, ha ha ha haa ila pumba nyingine nooo!!!
jide sasa change rangi yako purple imekuwa too much sasa!!! alafu nimeona a picture of you ukiwa umebana nywele you look young and sexy kwanza it gives you a slight face lift achana na hizi style za kina naomi campbell, kingine unguo kama uliyo vaa kwenye redparty it soo suits you you looked hot in it....you don't have to post this itumie kama advice too
Anony wa nov 3, 10:04pm imebidi ni post coment yako ili nikueleweshe hapo niko kikazi zaidi, natangaza nywele. Ni hayo tu, nunua gazeti la Shear (Hair & Beauty) utanielewa. Asante lakini kwa ushauri wako ni mzuri sana Mungu akuongezee moyo wa kujali na ukarimu
Nice couple.Jamani uyo Anitha ni mzuri kama mdoli nampenda sana.Manka mtu anaekashifu watu ni bora izo comment zake akae nazo chumbani kama ulivyosema blog sio ya majungu ni kuelimishana kama unaona mtu kakosea mwambie kwa maneno sio matusi na kashfa.
Waaaw Anita nimesoma naye Cornelius gils Academy nafurahi kuona unazidi kupendeza kama kawaida yak, jas wanna wish you happy life with your lovely family lol....
Jide you look beautiful in Purple. Nakupenda sana! Pia Kinje na Mke wake wamependeza sana. Na huyo mtoto kweli kafanana kabisa na Rihana, ila huyu wetu mrefu na mzuri zaidi ya Rihana, taking to account Rihana hajazaa bado!
mmh i wish nimuone huyu Anita akiwa ameweka style ya nywele ya Rihanna maana anaona atakuwa pacha kabisa nice couple mungu awajaalie inshallah mdumu katika ndoa yenu yupo yule kid wenu atakuwa mkubwa sasa nilimuona kwenye bang magazine
Penye ukweli uongo hujitenga..Anita kwakweli ni kifaa cha kufa mtu..ila mimi nauliza kuna ubaya mke kuwa mrefu kuliko mme? Hivi kuna sheria yoyote inayosema mme ndo awe mrefu au kitabu chochote cha dini eg bible au quruan au ni mazoea tu?
Maaamaaa Gadner Mamaaaa anatesa Maanaa yuko Juuu kma Nyota kma mnaweza kamateni shikeni nyotaaa haooooo Bibi raha ya mwanamke mume tena awe Mwafrika mwenzioooo bibi damu motoooooooooo hata awe point 5 ni ana ka ublack .....Jide hao waliondika comments walijua wataolewa wao watakufa na kijiba cha roho az u said wasubiri afe ndo waendeleee kuchezewa haijalishi jide wape Hawajui wewe na Anita Round about watazunguka end of the day................Msg sent and delivery waosha vinywa bila dawa kutwa kuchonga ooh sie matajiri,mie nina hela 2 hell miss beee...............Fans wako wa roho winkyyyyy
MANKA UNAJUA SAAANA KUFANANISHA YAANI ANITA ANAFANANA SANA NA RIHANA ILA MBONA HUJATUAMBIA J=KINJE ANAFANANA NA NANI?? KWA MAONI YANGU NADHANI ANAFANANA NA DR. REMMY..
Jide mbona unajichanganya na wewe?yani hujui kujibizana na watu noma.Wanaonongwa kama hautapost comment zao unawatangazia hapa ili?ujue kujibizana na wadau sio flesh dada,,wewe najua wadau wote hapa huwafahamu na unaowafahamu ni baadhi tu.Ila wao wanakufahamu vizuli hata wengine ni majirani zako sasa haina maana ya kujibizana hapa.Wewe kama umeona comment haipendezi ingiza kapuni ujifanye kama hujaiona wala!! mbona kwaida dada?wanachonga sana lakini Saida alishaema wenye wivu waji......Ila samahani usinipige konzi na mimi. Ni ushauli tu.
Jamani mbona reference za Rihana nyingi.... huyo bibie ni mzuri in her own ways.. hii mambo ya kujifanisha ma mastar indicates lack of confidence,acheni mambo ya kufanisha na watu ma star sijui rihana, pididi etc.... Jide you are natural and beautiful with swagger!
Waooh! What a cute couple! Wamependeza sana. Na kwa wale wasiojua couple hii imebarikiwa kupata mtoto wa kike hivi karibuni kuongezea kwenye familia yao. Be blessed.
mmhhh great couple! wanajua sana kuvaa na kupendeza(esp ANITA) she alwayz lukz gorgeous meaning kinje takes a good care of her.Haters better stop hating coz haitawasaidia.
Anony November 4, 2009 2:55 AM Jide kaanza nini? Hakuna cha kuchunga hapa,Mbona tujuavyo alianza zamani anaendelea tu heshimuni maisha wa watu mtaheshimiwa nawakilisha.
Anita mrefu kuliko kinje. Ila kinje mfupi sana majority ya wanawake aliodatae ni warefu no problem mume kuwa mfupi zaidi ya mwanamke.Its okie, like janet jackson and JD
Anony wa November 4, 2009 2:55 AM, jide hana kujishaua wala nini naona we imekuwasha katafute wa kukukuna ila sio kwenye blog hii, hapa mnapewa fact tu haters kama nyinyi, janeth na kinje mko juu kama dege la jeshi!! manung'ayembe mtaishia kuchezewa tuu!!!!
Cute smile mbona kimya, unawaogopa hawa wajinga amka tuwashambulie hii ni blog yetu, by the way Kinje na Anita mko juu, kila anae qualify kuingia kwenye blog hii yuko juu. hivi jide kama nilisikia jina ka kinje kwenye uko juu au masikio yangu tu. naomba ufafanuzi tafadhali manka eeh
she dresses so well, kinje provides the money(she is not working),whatever Kinje`s problems are(we dont wanna know)but for a fact he takes care of his young wife thats why after having 2 children she still looks gorgeous yote haya yanahitaji extreme care(kwenda gym, kununua pamba kali) so Kinje ur doing a good job my brother...congrats fo them.Nice looking couple.
nimefurahi kuwa umeona usientertain mambo ya kiswahili kwenye hii post ya couple of the week...watu wanapenda kuongea but wewe pia jide unaweza zuiya mambo mengine.Comment nyengine hazina kichwa wala miguu naomba ujaribu jide kuacha kuentertain uswahili na aliyesema mke wa kinje hafanyi kazi hivi mnajua huyu dada alivyo na anavojitegemea maana kasoma na si mjinga..,endelea na libeneke jide na kila la kheri
du katika couple zote ulizowahi kuweka hii kiobko maana wameendana ile mbaya cjui mtoto wao yupoje au atakuwaje maana wote wazuri, dada hongera kwakweli nimekupenda unajua kuchagua na kinje unajua kuchagua hongereni sana.
HI Jd ,couples ni nzuri sana,na wamependeza,lkn i dont no labda ni mimi au kuna mtu mwingine pia,i find u a bit rood when somebody comment tofauti na jinsi unavyoona au kutaka iwe,nafikiri watu wana rights to their opinion(comment) hata ikiwa ni mbaya inatufanya tujifunze kutokana na makosa,lkn to me ukisema comment mbaya utazitupa kapuni,i dont think if we will get anywhere
Jamani Jamani... Hii picha nilivyoiona tu nilijua tu italeta visa. Kinje kaacha wengi mjini hapa, so Jide labda ungeachia tu hizo comments ziwekwe na waosha vinywa. Walioachwa wote wangejulikana tu hapa mmoja mmoja. Maana siku zote mfa maji haachi kutapatapa. Kuna sababa ukaachwa wewe akaolewa yeye wajameni, badala ya kunyoosha vidole na kumtoa kasoro mwenzio (tena asizokuwa nazo) ni bora tu ukajiuliza sababu ya wewe kuachwa ukazirekebisha ili usijegeuka wa kuachwa kila siku. Hii nimetoa kama 'genral comment' tu jamani.
kumbe na we shaa akili zako zipo kwenye unyayooooooo!mana ucngeweza kumwambia cute smile aamke!mwenzako kaona ujinga kama ww ulivyosema nashangaa unataka kuwashambulia tena hao hao wajinga!na we c utakua mjinga!unapenda ligi eeh!haipendezi mtoto wa kike jamani ukiona ujinga acha ili na uyo aliyeandika ajione mjinga mana we utakayetoa mashambulizi ndo utakua mjinga zaidi!KAMA KAWA MTOTO JIDE UPO JUU! couple imeenda xcl inapendeza sana.ni ushauri tu co malumbano!fans wa ukweli
SHAAA mamii wala siogopi mtu mie hapa nilikuw kimya nilimuachia jide kawashushua wale wenye roho za ndala aikawii kukatika watajujaaaaa.
anita na kinje ni wanandoa ambao mie nawaonaga tu ila kapo yao iko safi sana na wanapendeza mno.
kuhusu urefu na ufupi jamani mnakuwa kama wageni nyie mmeona urefu na ufupi je ware waliozidiana umri pia sio ishu hebu acheni yenu ya uvunguni kila wakati mnainamaaaa mnategemea nini kuinama kwenu hahahahahhahaahahahaahh.
jide hao wajinga wanao post umavi wao wewe wadelete hawana mtazamo wa mbele wao wanaangalia walipo kaaa tu maisha yao yapo kiganjani tuu.
sidhani kama kwa kumkosoa mtu humu kwenye blog mtambadilisha kwa hali yoyote ile kumbukeni kila anaeingia humu ni mtu na mzima na akili yake, kama ana mapungufu na ameshindwa kuyabadili mpaka leo hamuwezi kumbadili nyie. hizo coment zenu ni kujifurahisha tu na ndio maana jide kaamua haziweki, sasa mtu kaisha oa ya nini kuongelea mambo yake ya past? kwani nyie wote ma bikra au hamjawahi ku break up na kuanza maisha upya? acheni hizo
Wabongo mmezidi kujidharau. Huyu dada ni mzuri kupindukia. Mimi ninauhakika kama yeye angekuwa Rihana na Rihana akawa yeye msingesema wanafanana maana huyu Anita sijui Anita viwango vyake vya TBS ni vya levo ya malaika. Hayo nikiyaacha, nakuhakikishia Kinjekitile nikirudi Dar mimi nakunyang'anya huyu Anita wako kama unamnyanyasaga maana huyu mtoto hatakiwi kusemwasemwa au kunyanyaswa katu. Mimi nasikia unatupesa twa baba yako Kingunge mimi hayo siyajui. Nakuja huko mwana wa kitaa na kazi moja tu, kumchukua huyu na kurudi nae Uarabuni labda aniambie hujawai kumnyanyasa. Mtoto yupo juu huyu ati
What a nice couple, jamni mmetulia kweli yaani. Compliments zenu hizooooooooooo. Endeleeni kupasua vichwa. Halafu Jide bora kabisa hujaweka hizo sms za hao wasio na maana. Achana nao, kivyetu vyetu na Blog yetu sie mwaya weeeee.
Jide bora kabis umetoa hizo comments za hao watu coz hatuwahitaji in our lovely blog. The couple looks so good. Keep on loving each other. Endeleeni kupasua vichwa.
yaani am not hating or anything, lakini sielewi kwanini watu wanasema anafana na rihanna yaani hata hawafanani! i do think the girl is very beautiful tho. no offence but i dnt understand why she'd marry such an old man! but ni muenekano wangu tu...
66 comments:
Oh!Yes Rihana wa bongo,lovely couple kazi nzuri.
Mlioanza nongwa sita post comments zenu kaeni nazo chumbani kwenu mjisomee ziwaburudishe sisi hatuzihitaji humu
Jide Ungemuacha uone kesho wapambe watavyompa vidonge vyake
Manka si unajua tena binadamu tupo tofauti wengine hawajui kufikiria ni kuropoka tu hivyo usiwajali waweka tuwafunze adabu wasirudi humu
Jaydee mimi huwa sicomment kila nikiingia hapa nasoma na kusonga ila leo naomba niseme kitu kimoja kuhusu huyo dada mara ya kwanza nilimuona katika kipindi cha Nirvana nikaja kumuona pale ubalozi yeye na mumewe kiukweli She is Beautiful.Tuache kuwa negative kama kitu kizuri watu tuseme tu hata kama hupendi huo ndio ukweli na utabaki kuwa ukweli.Nice couple na mmependeza.Asante
Nice looking couple. Nadhani mtototwao atakua mrembo wa haja!
Safi sana, maana wanatuboa sana na comment zao za kipuuzi! Thanks Jide. Vipi afya yako lakini?
yes hata mimi naona.... Rihanna mtupu kama pacha wake vile.......WINK!!!!!
Mhhh jamani huyu Mdada ni Mzuri she is young, beautiful and everything ...hongera Bibie na hongera Kinjekitile kwa kuchagua chombo khaa! please Mpe One Love Mtoto wa watu
Wamependeza sana sana kama wapo mamtoni vile. Gud job jide
tatizo hawana uwezo wa kitu chochote kazi yao kutegemea vya watu hao washamba wote wanaotukana humu wakafungue blog zao basi kama ze utamu mbona wanaogopa kama kweli wao majasiri? hongra Kinje na Anita watasema sana ila ndio imesha andikwa, poleni wasichana wa mujini
Dada,mbona mimi wa2 waliniponda kuwa napigwa na mke wangu(kitu ambacho ni kweli)uliruhusu comments hizo kwenye blog.....si uruhusu tu jamani! acha ubagusi aisee Manka!...raha ya blog ni comments za wadau
Sasa wewe mwenyewe si umeshasema ni kweli unapigwa na mkeo na kwakuwa nililitambua hilo ndio maana niliziachia kwakuwa najua unafurahia, ha ha ha haa ila pumba nyingine nooo!!!
jide sasa change rangi yako purple imekuwa too much sasa!!! alafu nimeona a picture of you ukiwa umebana nywele you look young and sexy kwanza it gives you a slight face lift achana na hizi style za kina naomi campbell, kingine unguo kama uliyo vaa kwenye redparty it soo suits you you looked hot in it....you don't have to post this itumie kama advice too
jide we ni noma, mambo yako yanatia raha kwa kweli. asante kwa kazi nzuri shosti
Anony wa nov 3, 10:04pm imebidi ni post coment yako ili nikueleweshe hapo niko kikazi zaidi, natangaza nywele. Ni hayo tu, nunua gazeti la Shear (Hair & Beauty) utanielewa. Asante lakini kwa ushauri wako ni mzuri sana Mungu akuongezee moyo wa kujali na ukarimu
Mimi niko tofauti kidogo.
naona kama huyo dada anafanana na Alisha keys!!!!!!! kwa mbali.
Jide we kula vichwa mama. Tengeneza pesa, weka style utakavyo ilimradi inalipaaaaaaa.
disminder
Nice couple.Jamani uyo Anitha ni mzuri kama mdoli nampenda sana.Manka mtu anaekashifu watu ni bora izo comment zake akae nazo chumbani kama ulivyosema blog sio ya majungu ni kuelimishana kama unaona mtu kakosea mwambie kwa maneno sio matusi na kashfa.
Waaaw Anita nimesoma naye Cornelius gils Academy nafurahi kuona unazidi kupendeza kama kawaida yak, jas wanna wish you happy life with your lovely family lol....
Jide you look beautiful in Purple. Nakupenda sana! Pia Kinje na Mke wake wamependeza sana. Na huyo mtoto kweli kafanana kabisa na Rihana, ila huyu wetu mrefu na mzuri zaidi ya Rihana, taking to account Rihana hajazaa bado!
mmh i wish nimuone huyu Anita akiwa ameweka style ya nywele ya Rihanna maana anaona atakuwa pacha kabisa nice couple mungu awajaalie inshallah mdumu katika ndoa yenu yupo yule kid wenu atakuwa mkubwa sasa nilimuona kwenye bang magazine
Good looking couple! They look nice together, Mashaalah!
Shem, wife wa mshkaji yuko powa sn ni km Rihana 4 real,Vip mchuma umesha tenge neza? na ww vip uko powa na malaria?
Nimewapenda! wamependeza!
Jide nice couple I love them ile Kinje angalie makulaji maana anazeeka sasa wakati ni mdogo.
ANITA NI MZURI KULIKO RIHANA!
Penye ukweli uongo hujitenga..Anita kwakweli ni kifaa cha kufa mtu..ila mimi nauliza kuna ubaya mke kuwa mrefu kuliko mme? Hivi kuna sheria yoyote inayosema mme ndo awe mrefu au kitabu chochote cha dini eg bible au quruan au ni mazoea tu?
Maaamaaa Gadner Mamaaaa anatesa Maanaa yuko Juuu kma Nyota kma mnaweza kamateni shikeni nyotaaa haooooo Bibi raha ya mwanamke mume tena awe Mwafrika mwenzioooo bibi damu motoooooooooo hata awe point 5 ni ana ka ublack .....Jide hao waliondika comments walijua wataolewa wao watakufa na kijiba cha roho az u said wasubiri afe ndo waendeleee kuchezewa haijalishi jide wape Hawajui wewe na Anita Round about watazunguka end of the day................Msg sent and delivery waosha vinywa bila dawa kutwa kuchonga ooh sie matajiri,mie nina hela 2 hell miss beee...............Fans wako wa roho winkyyyyy
truth be told ! mke wa Kinjekitile is soooo beautiful and she keeps getting better by days, hope u reading this, you are so cute !
much love !
MANKA UNAJUA SAAANA KUFANANISHA YAANI ANITA ANAFANANA SANA NA RIHANA ILA MBONA HUJATUAMBIA J=KINJE ANAFANANA NA NANI?? KWA MAONI YANGU NADHANI ANAFANANA NA DR. REMMY..
nice couple
vibaka walie tuu
manjano mifupa aliyee tuuu
Jide mbona unajichanganya na wewe?yani hujui kujibizana na watu noma.Wanaonongwa kama hautapost comment zao unawatangazia hapa ili?ujue kujibizana na wadau sio flesh dada,,wewe najua wadau wote hapa huwafahamu na unaowafahamu ni baadhi tu.Ila wao wanakufahamu vizuli hata wengine ni majirani zako sasa haina maana ya kujibizana hapa.Wewe kama umeona comment haipendezi ingiza kapuni ujifanye kama hujaiona wala!! mbona kwaida dada?wanachonga sana lakini Saida alishaema wenye wivu waji......Ila samahani usinipige konzi na mimi. Ni ushauli tu.
Jamani mbona reference za Rihana nyingi.... huyo bibie ni mzuri in her own ways.. hii mambo ya kujifanisha ma mastar indicates lack of confidence,acheni mambo ya kufanisha na watu ma star sijui rihana, pididi etc.... Jide you are natural and beautiful with swagger!
Waooh! What a cute couple! Wamependeza sana. Na kwa wale wasiojua couple hii imebarikiwa kupata mtoto wa kike hivi karibuni kuongezea kwenye familia yao. Be blessed.
nice couple, huyo mdada ni mzuri saaaaana.vp maralia jide? ugua pole wangu.luv u
Jide na wewe umeanza kujishauwa?chunga sana mtoto.
mmhhh great couple! wanajua sana kuvaa na kupendeza(esp ANITA) she alwayz lukz gorgeous meaning kinje takes a good care of her.Haters better stop hating coz haitawasaidia.
acheni kusemea gizani njooni huku hadharani tuwaone
Anony November 4, 2009 2:55 AM Jide kaanza nini? Hakuna cha kuchunga hapa,Mbona tujuavyo alianza zamani anaendelea tu heshimuni maisha wa watu mtaheshimiwa nawakilisha.
Manka usikubali matisho tuko pamoja achana na wachache wasio na lakufanya!
YES!
nice couple, wanapendeza sana. acheni kuchonga wenye roho mbaya.
Jide unafiti kwenye rangi zote jivunie uzuri wako. always lv u
maida
Anita mrefu kuliko kinje. Ila kinje mfupi sana majority ya wanawake aliodatae ni warefu no problem mume kuwa mfupi zaidi ya mwanamke.Its okie, like janet jackson and JD
Anony wa November 4, 2009 2:55 AM, jide hana kujishaua wala nini naona we imekuwasha katafute wa kukukuna ila sio kwenye blog hii, hapa mnapewa fact tu haters kama nyinyi, janeth na kinje mko juu kama dege la jeshi!! manung'ayembe mtaishia kuchezewa tuu!!!!
Cute smile mbona kimya, unawaogopa hawa wajinga amka tuwashambulie hii ni blog yetu, by the way Kinje na Anita mko juu, kila anae qualify kuingia kwenye blog hii yuko juu. hivi jide kama nilisikia jina ka kinje kwenye uko juu au masikio yangu tu. naomba ufafanuzi tafadhali manka eeh
SHAA
she dresses so well, kinje provides the money(she is not working),whatever Kinje`s problems are(we dont wanna know)but for a fact he takes care of his young wife thats why after having 2 children she still looks gorgeous yote haya yanahitaji extreme care(kwenda gym, kununua pamba kali) so Kinje ur doing a good job my brother...congrats fo them.Nice looking couple.
NICE KAPO........ WANAVUTIA SAAANAAA
nimefurahi kuwa umeona usientertain mambo ya kiswahili kwenye hii post ya couple of the week...watu wanapenda kuongea but wewe pia jide unaweza zuiya mambo mengine.Comment nyengine hazina kichwa wala miguu naomba ujaribu jide kuacha kuentertain uswahili na aliyesema mke wa kinje hafanyi kazi hivi mnajua huyu dada alivyo na anavojitegemea maana kasoma na si mjinga..,endelea na libeneke jide na kila la kheri
du katika couple zote ulizowahi kuweka hii kiobko maana wameendana ile mbaya cjui mtoto wao yupoje au atakuwaje maana wote wazuri, dada hongera kwakweli nimekupenda unajua kuchagua na kinje unajua kuchagua hongereni sana.
HI Jd ,couples ni nzuri sana,na wamependeza,lkn i dont no labda ni mimi au kuna mtu mwingine pia,i find u a bit rood when somebody comment tofauti na jinsi unavyoona au kutaka iwe,nafikiri watu wana rights to their opinion(comment) hata ikiwa ni mbaya inatufanya tujifunze kutokana na makosa,lkn to me ukisema comment mbaya utazitupa kapuni,i dont think if we will get anywhere
huyu dada ni mzuri sana.kumbe huyu ndio kinje!kaka anapenda wasichana wazuri huyu.
why people want to resemble superstars while they aren't one. She's pretty but rihanna, she isn't at all not even close.
hahahahaha the gal is qute kwakweli. urefu ufupi ni choice ya mtu huwez jua kapenda nn. in short haiusuuuuuuuuuuuuuu kabisaaaaaaaaa.
Jamani Jamani... Hii picha nilivyoiona tu nilijua tu italeta visa. Kinje kaacha wengi mjini hapa, so Jide labda ungeachia tu hizo comments ziwekwe na waosha vinywa. Walioachwa wote wangejulikana tu hapa mmoja mmoja. Maana siku zote mfa maji haachi kutapatapa.
Kuna sababa ukaachwa wewe akaolewa yeye wajameni, badala ya kunyoosha vidole na kumtoa kasoro mwenzio (tena asizokuwa nazo) ni bora tu ukajiuliza sababu ya wewe kuachwa ukazirekebisha ili usijegeuka wa kuachwa kila siku. Hii nimetoa kama 'genral comment' tu jamani.
Ni hayo tu.
kumbe na we shaa akili zako zipo kwenye unyayooooooo!mana ucngeweza kumwambia cute smile aamke!mwenzako kaona ujinga kama ww ulivyosema nashangaa unataka kuwashambulia tena hao hao wajinga!na we c utakua mjinga!unapenda ligi eeh!haipendezi mtoto wa kike jamani ukiona ujinga acha ili na uyo aliyeandika ajione mjinga mana we utakayetoa mashambulizi ndo utakua mjinga zaidi!KAMA KAWA MTOTO JIDE UPO JUU! couple imeenda xcl inapendeza sana.ni ushauri tu co malumbano!fans wa ukweli
SHAAA mamii wala siogopi mtu mie hapa nilikuw kimya nilimuachia jide kawashushua wale wenye roho za ndala aikawii kukatika watajujaaaaa.
anita na kinje ni wanandoa ambao mie nawaonaga tu ila kapo yao iko safi sana na wanapendeza mno.
kuhusu urefu na ufupi jamani mnakuwa kama wageni nyie mmeona urefu na ufupi je ware waliozidiana umri pia sio ishu hebu acheni yenu ya uvunguni kila wakati mnainamaaaa mnategemea nini kuinama kwenu hahahahahhahaahahahaahh.
jide hao wajinga wanao post umavi wao wewe wadelete hawana mtazamo wa mbele wao wanaangalia walipo kaaa tu maisha yao yapo kiganjani tuu.
cute smile
WANAFANANA MACHO KIUKWELI
sidhani kama kwa kumkosoa mtu humu kwenye blog mtambadilisha kwa hali yoyote ile kumbukeni kila anaeingia humu ni mtu na mzima na akili yake, kama ana mapungufu na ameshindwa kuyabadili mpaka leo hamuwezi kumbadili nyie. hizo coment zenu ni kujifurahisha tu na ndio maana jide kaamua haziweki, sasa mtu kaisha oa ya nini kuongelea mambo yake ya past? kwani nyie wote ma bikra au hamjawahi ku break up na kuanza maisha upya? acheni hizo
Wabongo mmezidi kujidharau. Huyu dada ni mzuri kupindukia. Mimi ninauhakika kama yeye angekuwa Rihana na Rihana akawa yeye msingesema wanafanana maana huyu Anita sijui Anita viwango vyake vya TBS ni vya levo ya malaika. Hayo nikiyaacha, nakuhakikishia Kinjekitile nikirudi Dar mimi nakunyang'anya huyu Anita wako kama unamnyanyasaga maana huyu mtoto hatakiwi kusemwasemwa au kunyanyaswa katu. Mimi nasikia unatupesa twa baba yako Kingunge mimi hayo siyajui. Nakuja huko mwana wa kitaa na kazi moja tu, kumchukua huyu na kurudi nae Uarabuni labda aniambie hujawai kumnyanyasa. Mtoto yupo juu huyu ati
What a nice couple, jamni mmetulia kweli yaani. Compliments zenu hizooooooooooo. Endeleeni kupasua vichwa. Halafu Jide bora kabisa hujaweka hizo sms za hao wasio na maana. Achana nao, kivyetu vyetu na Blog yetu sie mwaya weeeee.
Jide bora kabis umetoa hizo comments za hao watu coz hatuwahitaji in our lovely blog. The couple looks so good. Keep on loving each other. Endeleeni kupasua vichwa.
Lol
HIYO T-SHIRT ya huyo bwana mmmhhhh....hahahahahaaaa..ajaribu kuvaa kama wife wake....
haha haterssss.. bongo nzima vidada vilikuwa vinamshobokea Kinje,,,,alivokuwa anaoa mbona presha zilipandaaa..haikushuka wangu..ilikuwa inafika katikati kurudi mwanzo na kukatika hahahahaha muacheniiiii ANita ale maraha katoto kazuriiii kwanza hao wanaomlilia kinje ukiwaona wazee kama nini na roho zao nyeusii Pyuu!nice couple..
yaani am not hating or anything, lakini sielewi kwanini watu wanasema anafana na rihanna yaani hata hawafanani! i do think the girl is very beautiful tho. no offence but i dnt understand why she'd marry such an old man! but ni muenekano wangu tu...
the gal she dey 2 fine oooooo
JIDE ACHA KUJIPENDEKEZA KWANGU!! UNA CHUJA COMMENTS ZA NINI?? SI ZINANIHUSU MIMI?? HICHO NI KIHELEHELE TU!!
I know Anita...have her to call me...Mike
Post a Comment