THIS BLOG IS SPONSORED BY

THIS BLOG IS SPONSORED BY

11.06.2009

DESIGN ZA MIKATE KUTOKA KWA IMA ( THE DESIGNER)




20 comments:

Anonymous said...

Hai mama G' Haby!

mambo vp? za Dar? huku mwanza wazima. sasa jamani mbona hujatuwekea jinsi ya kupika hiyo mikate?

Tunaomba utuwekee na jinsi ya kupika cake ya aina yoyote, mie na mwanangu brian tunapenda sana kula cake.

By!
mama MUD

Jide said...

Mimi mwenyewe sijui jinsi ya kupika mikate wala keki, labda wanaojua watusaidie. picha nimetumiwa na na Ima (The Designer)

Anonymous said...

Manka kazi nzuri mbona kimya kingi mpenzi!Mzima lakini?

lema one said...

Dada manka naomba niulize hiyo white ni bread rose kwa ajili ya soup au? na hizo brown kwa ajili ya a carte maana sielewi

lema one said...

kuhusu huyo ndugu yangu anayetaka kufundishwa kupika mwambie aende kwenye face book amtafute mtu anayeitwa ramadhani haruna chef la milenia wa paradise city hotel nadhani yeye atakusahidia tena mno ukitaka cheki mambo ya huyo chef katika blog ya lemaone.blogspot.com thgen utasema mwenyewe

Tina said...

lol!nimeupenda huo wa chini huo.ina madhiwa lakini???

Jide said...

Ima fanya uwajibu wadau kuhusu hiyo mikate jamani manake maswali yaja na majibu yake sina ati.@ Anony6:02AM Nipo Mpendwa ni majukumu tu ya utafutaji yananitinga ila pamoja sana wala msijali wandugu

Anonymous said...

Kazi nzuri haswaa.

Healthy Cake Zucchini(sijui jina lake kwa kiswahili. Ila liko kama tango kwa umbo ila muonekano wa ngozi yake ni kama boga kidogo) or Carot.Amua wewe ukipendacho. Pia waweza kuweka nusu Zucchini nusu carot. Jaribu na utaaminia. Sipendi ku bake cakes ambazo si Healthy.

INGREDIENTS
3 cups all purpose flour
1 teaspoon salt
1 teaspoon baking soda
1 teaspoon baking powder
3 teaspoons ground cinnamon
3 eggs
1 cup vegetable oil
2 1/4 cups sugar
3 teaspoons vanilla extract
2 cups grated Zucchini/carots
OPTIONAL: Raisins,coconut.


DIRECTIONS:
1.Grese an flour two 8*4 inch pns. Preheat oven to 325 degrees F, 165 degrees centigrade.
2. Sift flour, salt,baking powder, baking soda and cinamon together in a bowl.
3. Beat eggs until creamy and fluffy. Add oil little by little. Add vanilla and sugar and continue beating. Add sifted ingredients to the creamed mixture and beat well. Stir in Zucchini/carot and nuts and mixt it by using wooden spoon . Pour batter in prepared pans.

4. Bake for 40 to 60 minutes. Test if its redy by insertin a sharp knife in the centre if it comes out clean then your cake is readdy.
5. Cool in pan or rack for 2 minutes. Remove it from pan and completelly cool.

*Usisite kuniuliza chochote kuhusu baking and cake decorating tips kupitia hapa. Sina blog ila napenda ku share na wenzangu ujuzi ambao Mungu kanijalia

MAMA MZUNGU

K said...

Hi Manka, mie naomba kuuliza,
najua kuna msiba mzito, je leo ijumaa utakuwa Zhong Hua, maana yake ujatuhabarisha, kwa dalili hizi labda hakuna sanya sanya leo, Please Confirm

Anonymous said...

Vipi new look ya home jamani...matumbo yanauma Jide!

Anonymous said...

dhaa hii design, haya asnte tutajaribu kuipika,
Mumy G, Swiss Gnv

JO said...

Mh ima(the disigner) nmependa hyo mikate aisee
@jide umepona? Umependeza ktk hyo profile pic
@mama mzungu,thanx umetusaidia weng kwa recipe

Anonymous said...

mimi naona hii ni kufuru jamani mikate ikadesigniwa kama viatu,khufuru jamani

SophiesClub said...

Kwa kuongezea kwa Mama Mzungu, soma hapa http://sophiasclub.blogspot.com/2008/08/honey-buttermilk-cornbread-mkatecake-ya.html
aina nyingine ya kutumia unga wa mahindi.Nilii blog mwaka jana.Asante Mama mzungu kwa hiyo tip ya kuweka zucchini

Anonymous said...

Asante Jide kwa makulati na asante mama Mzungu kwa kutupa njia.

disminder

Shally's Med Corner said...

sasa hiyo tunavaa au tunakula Jd?

Ima (The Designer) said...

Mhhh its simple,hiyo ni mikate ya kawaida na zaidi utaikuta ktk super market, Then si unajua ss ma designer ni km ma professor una kaa na kitu unabuni then unaanza mambomambo mwisho unakuta umepata shepu flani hivi na ukiongeza ujuzi unakuta umepata picha kamili.
sorry km jibu halija walidhisha ila kwa mtu anaye elewa Design atakuwa amenisoma.

Anonymous said...

hii inaonekana kua alofanya hivi kashiba sasa anafanya kufuru

Sab said...

Thx Imma uo ndio ubunifu sasa.nimependa.tubunie kitu kingine sasa

Anonymous said...

wewe ima acha kupindapinda kama nyoka,jibu lako halijakaa sawa,wewe waambie kuwa umenununa mikate super market,ukakaa na KISU Ukaanza kukata kata,hiyo mikate inajulikana kabisa super market hujatengeneza wewe,umenunua ukakosa kazi ukaanza kuchezea kukata kata kama sandle,