Bwana alitoa na bwana ametwaa na kila mwanadam ni lazima atapitia njia hiyo ila cha msingi tumuombee anaye tangulia mbele za haki. Crouds media na wote wanaoguswa na msiba huu tuko pamoja.
POLENI SANA WAPENDWA. MUHIMU MAOMBI KWA MWENZETU ALIYETANGULIA, NASI TUKUMBUKE HUO NDIYO MWISHO WA MWANADAMU, KWA HIYO TUJITAYARISHE KATIKA KILA SEKUNDE YA MAISHA YETU.
ISHI KAMA UNAKUFA SASA, NA ISHI KAMA UNAISHI MILELE!!!!
BWANA ALITOA NA SASA AMETWAA. JINA LAKE LIHIMIDIWE
Pole nyingi kwa familia yake,wafanyakazi wake na wadau wote wa burudani.Jide dada unaendeleaje? umeshamaliza sindano eh? sasa unajisikiaje wangu? luv u
24 comments:
RIP Alex Kussaga
Bwana alitoa na sasa ametwaa.
Jina lake lihimidiwe.
Pole kwa familia na watanzania wote
Bwana alitoa na bwana ametwaa na kila mwanadam ni lazima atapitia njia hiyo ila cha msingi tumuombee anaye tangulia mbele za haki. Crouds media na wote wanaoguswa na msiba huu tuko pamoja.
Pole sana kwa familia ya Kussaga
R.I.P!
Sore kuwa nje ya topic Jide, mpigie debe Elizabeth kawa nominated tena...mpambano mkali this time.
yote ni mapenzi ya mungu. mungu hawatie nguvu wote kwa kipindi hk kigumu.
Pole familia ya Kusaga Mungu awatie nguvu kwa wakati huu mgumu wa msiba wa mpendwa baba yetu
POLENI SANA WAPENDWA.
MUHIMU MAOMBI KWA MWENZETU ALIYETANGULIA, NASI TUKUMBUKE HUO NDIYO MWISHO WA MWANADAMU, KWA HIYO TUJITAYARISHE KATIKA KILA SEKUNDE YA MAISHA YETU.
ISHI KAMA UNAKUFA SASA, NA ISHI KAMA UNAISHI MILELE!!!!
BWANA ALITOA NA SASA AMETWAA.
JINA LAKE LIHIMIDIWE
disminder.
RIF MR. ALEX KUSSAGA, mwenyezimungu awapunguzie machungu wafiwa.
rest in peace
poleni kwa msiba jamani wana clouds fm na wadau wote wasekta hiyo.poleni sana mungu awape nguvu wafiwa.
cute smile
Josefu & family, poleni sana kwa msiba huu mkubwa. Mungu awape nguvu katika kipindi hiki cha majonzi. RIP Mzee Kusaga. Shy-Rose Bhanji
Oh baba yangu! may God almighty rest his soul in aternal piace.
poleni wote jo,maria,Tungi,Sheba and others.
inna lilah wain na ilahi rajiun ailaze pema peponi yake roho
LILFUE
Pole nyingi kwa familia yake,wafanyakazi wake na wadau wote wa burudani.Jide dada unaendeleaje? umeshamaliza sindano eh? sasa unajisikiaje wangu? luv u
RIP Alex Kusaga!
Pole sana kwa familia yote ya Kusaga,Andrew,Tungi,Jose na wengine! Tumuombee Mzee apumzike kwa amani.
Mbele yeye nyuma sisi safari ya mwisho kwa binadamu yeyote. MUNGU ailaze roho ya marehem mahala pema na awape nguvu familia ya marehemu.
Mariam
Huyu Mariam wa ZAIN au?
disminder
LILFUE!! tafadhali soma zaid utajua zaidi dini yako.
datty? umesoma Tambaza?
Poleni kwa msiba wafiwa wote.
ama kweli kila nafsi lazima itaonja mauti tatizo ni kutangulia
'bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe'
Anonymous said...
asante ust
Post a Comment