Pages

26 January 2012

AMOS MAKALLA HUFANYA ZIARA MARA KWA MARA KUANGALIA KAZI ALIOIFANYA IMEFIKIA WAPI

MBUNGE wa Jimbo la Mvomero,(CCM)mkoani Morogoro,Amos Makalla,akimpa pole mwanamama wa jamii ya kimasa aliyekuwa akisubiri kupatiwa matibabu,wakati alipotembelea Zahanati ya kijiji cha dakawa wilayani humo kwajili ya ukaguzi wa zahanati hiyo,Makalla alitoa kiasi cha shilingi milioni 1 papo hapo kwajili ya kukarabati miundombinu ya umeme ndani ya zahanati hiyo kwajili ya maandalizi ya kuingiza

Story za hapa na pale na wana kijiji




Kiongozi akiwa amekaa katika madawati na wanafunzi wa shule ya msingi mgudeni kata ya mvomero ,makalla alitoa jumla ya shilingi milioni 1.6 kwajili ya kutengeneza madawati hayo kama miezi miwili iliyopita baada ya kuelezwa wanafunzi wake wanakaa chini kutokana na upungufu wa madawati.

MBUNWahusika wakionyeshwa michoro ya ramani ya ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Mvomero na Meneja wa wakala wa majengo mkoani Morogoro Edwin Mndunduma(kulia) kushoto ni Mchovu Charo ambaye mkandarasi wa kampuni ya Mavondas LTD inayojenga hospitali hiyo.

Katika hii picha kinachoonekana ni moja ya visima kati ya 20 kilichochimbwa katika kijiji cha Milama kata ya dakawa kwa ufadhili wa taasisi Health Community ya nchini Marekani,wengine ni viongozi wa kijiji hicho.

4 comments:

Anonymous said...

Unajitahidi kuwa kiongozi bora ingawa issue fulani unatakiwa kupunguza kuacha najua ni ngumu

Anonymous said...

goood mr amos! u mekn it great. leadership is really something else, you cant please everybeing. so keep doing your best. kama kijana, naona mfano mzuri. BRILLIANT

Anonymous said...

interestin ....wish i knew smtin of this mvomero before. seems much modifications have been made. good honourable, GOD BLEC TANZANIA

posh dada said...

mkombozi mVOMERO........