MAHITAJI:
Nyanya, Vitunguu, Mafuta ya mimea (Veg oil), Chumvi, Nazi na Bamia
vilivyokatwa katwa kwa muundo unaoonekana hapo juu
Nyanya, Vitunguu, Mafuta ya mimea (Veg oil), Chumvi, Nazi na Bamia
vilivyokatwa katwa kwa muundo unaoonekana hapo juu
1: Unakaanga nyanya na vitunguu pembeni mpaka vilainike na kuwa rojo zito
2: Unaweka mafuta kidogo sana kwenye sufuria/kikaango kisha unaweka bamia zilizo katwa na kuoshwa vizuri
Unazigeuza mpaka uone ule udenda wake umekata na haupo kabisa
Iwe tui fresh, au za madukani Coconut Milk/Cream pamoja na chumvi
Unaacha ichemke na ichanganyike kwa dakika 1
Utaamua unataka kula na Wali, Ugali, Chapati, Mkate n.k
15 comments:
Nmhhh duhh Jide Shemji G.H anafaidi kwa misosi ya namna hii,,,sasa muda huu uko Majuu unamwacha vipi Bwana Mkubwa?
inavutia
Hili pishi linanihusu. Thanks
Iyoleo lazima nikaijaribu asaaaante sana kwakunipa ufundi wangu
yaani hapo nitakula kwa ugali au wali, tamuuuuuuuuu
Hii lazima niipike
mhhhhhhhhhh namezea mate kwanza mna yameshajaa kuona ilo lost hapo,ongra dada uko juuuuuuuuuuu.
Asante kwa kutufundisha hili pishi Jide, nitaenda kulipika na mimi nyumbani.
Mmmmmh jide yaani ni yam yam kwa sana...jinsi ninavyopenda bamia hiii lazima leo leo niifanyie mambo then nijipe utamu..
Ahsante kwa kutuletea kitu roho inapenda.
kweli tembea uone, najuaga km hizi bamia huwa zinangwa kwa nazi lakini za kukata kata ndogo ndogo ndo nimeziona hapa na nimezitamani, kesho mungu akipenda nitazikorofisha, maana zinaonekana tamuuuuuuuuuuu
Mafuta unaweka kama kiasi gani jide? vijiko vikubwa vingapi maana mimi huwa ni mbvu sana kwenye swala la mafuta nikipika nyumbani wanalalamika nimeyajaza
sweeet thanks uwe unatuletea haya mambo often wengine ni wamasi hatujui mazaga zaga mama!
Nnavyochukia bamia, sijui...ngoja nijaribu kwa mtindo huu labda nitaweza.
Mmmh! hadi mate yananidondoka hiyo lazima niitengeneze tena sasa hv!
Aisee pishi ni tamu hili kwa ugali...thanks Jide I went and tried it
Post a Comment