Unaweza kujishaua pia kama na wewe unalo inaruhusiwa ila tatizo linakuja pale unapokuwa hujui pa kulipata ndio zinapokuja comments kama hizo, hata uuze mwili miaka 100 hulipati la hivyo
tatizo Klarah una mapungungu sana kama una fikiri kila mtu atajionesha na alonacho sijui ingekuwaje, na kama kuuza mwili hata bibi mama shangazi na dada zako pia aliipitia hiyo kazi ndo maana wewe ukajua kuadika comment. uchuziiiii.....
Kila mtu hawezi kujionesha na ndio maana kila mtu sio Jide, wewe kama hupendi yeye anapenda. so shut up, kwani wewe na yule mwanamke wa jirani yako wote mnapenda vitu sawa? u sound like one stupid i**t
kama kitu sikipendi na kinaniumiza kila nikikiona nitajiepusha nisikifatilie, sijui anony huyu anapata shida ya nini? wakati blog zipo za category mbalimbali. jide alikufanyaga nini kikubwa mbona ni wewe tu kila siku lazima uje kuchafua hali ya hewa? mbona zipo blog za mipasho na matusi kwanini usiende uka comment huko? nadhani humu hapakufai, kama unang'ang'ania utakuwa ni shetani muondoa roho za watu na Jide anakupa wakati mgumu sana inaonekana hata huwezi kulala bila kutaja jina lake. jiepushe nae
U very ryt Suzan uyu anasumbuliwa sana na maendeleo ya jide na Mungu alivyo kuwa hana hiyana na mjawake anazidi kumuongezea tu Komando Jide yuko up chezeaa ushauri wangu nenda kaombewe kama kuomba mwenyewe huwezi ilo pepo la wivu likutoike kaaa,,,,
Hana maana huyo Jide endelea kukaa kimya atjijuuu na Domo lake chafu . hao ndo wasio na maisha bali wanapumzi za kuwafanya waishi Jide uko JUUUUU frm Sweden
ha ha haaaa! jamani kwenye hiyo picha imenichekesha hiyo ya huyo anyekula ride hana habari, nimecheki vizuri kumbe ride yenyewe ni kwenye sanduku nadhani limeharibika au kutolewa mfuniko wa juu so imebaki kama toroli fulani wenzake wanamwendesha humo! wabunifu sana watoto hao, au wazazi kama ndio wamewapa, big up sana kwani sio wote tunaweza afford vile vigari vya kuendeshea watoto.
14 comments:
Tih tih tih hii picha ni zaidi ya picha oh My God neipendaje sasa.
Hahahahahaha kweli wamebambwa zinafuiraisha sana picha:)
Mashauzi.com
Unaweza kujishaua pia kama na wewe unalo inaruhusiwa ila tatizo linakuja pale unapokuwa hujui pa kulipata ndio zinapokuja comments kama hizo, hata uuze mwili miaka 100 hulipati la hivyo
Uwiiii Klarah umeua hahahaaaa! picha zimenipa tabasamu la mchana mwema.
tatizo Klarah una mapungungu sana kama una fikiri kila mtu atajionesha na alonacho sijui ingekuwaje, na kama kuuza mwili hata bibi mama shangazi na dada zako pia aliipitia hiyo kazi ndo maana wewe ukajua kuadika comment. uchuziiiii.....
Kila mtu hawezi kujionesha na ndio maana kila mtu sio Jide, wewe kama hupendi yeye anapenda. so shut up, kwani wewe na yule mwanamke wa jirani yako wote mnapenda vitu sawa? u sound like one stupid i**t
kama kitu sikipendi na kinaniumiza kila nikikiona nitajiepusha nisikifatilie, sijui anony huyu anapata shida ya nini? wakati blog zipo za category mbalimbali. jide alikufanyaga nini kikubwa mbona ni wewe tu kila siku lazima uje kuchafua hali ya hewa? mbona zipo blog za mipasho na matusi kwanini usiende uka comment huko? nadhani humu hapakufai, kama unang'ang'ania utakuwa ni shetani muondoa roho za watu na Jide anakupa wakati mgumu sana inaonekana hata huwezi kulala bila kutaja jina lake. jiepushe nae
U very ryt Suzan uyu anasumbuliwa sana na maendeleo ya jide na Mungu alivyo kuwa hana hiyana na mjawake anazidi kumuongezea tu Komando Jide yuko up chezeaa ushauri wangu nenda kaombewe kama kuomba mwenyewe huwezi ilo pepo la wivu likutoike kaaa,,,,
Hana maana huyo Jide endelea kukaa kimya atjijuuu na Domo lake chafu . hao ndo wasio na maisha bali wanapumzi za kuwafanya waishi Jide uko JUUUUU frm Sweden
hahahahhaa nimeipenda hii Jide
wewe anoy unayesema mashauzi.com nitafte nikupeleke kwa wanasaikolojia uende ukawa na ugonjwa ukiona mwenzio ana ki2 bc unaugua.leon lee
Hivi picha za bus zilibadilishwa? Nakumbuka uliomba mawazo ya wadau humu.
ha ha haaaa! jamani kwenye hiyo picha imenichekesha hiyo ya huyo anyekula ride hana habari, nimecheki vizuri kumbe ride yenyewe ni kwenye sanduku nadhani limeharibika au kutolewa mfuniko wa juu so imebaki kama toroli fulani wenzake wanamwendesha humo! wabunifu sana watoto hao, au wazazi kama ndio wamewapa, big up sana kwani sio wote tunaweza afford vile vigari vya kuendeshea watoto.
Post a Comment