Monday, June 4, 2012

DIARY YA MAISHA YANGU TANGU KURUDI TANZANIA, TAR 1 JUNE 2012 "Karibuni Muisome na kwa kuangalia Picha

Ndio siku hiyo hiyo nilikuwa nimefika na nisingeweza kulala bila kufika eneo la tukio.
Ila pia nisingeweza kurukia na kuanza ku perform moja kwa moja, nilingojea wenyeji wamalize halafu nitie nakshi kiduchu tu
Picha ya chini mwenye shati jeusi, Huyo ndio kiboko ya ma Piano, anaitwa Elysee, ndio atakuwa anaendelea kunifua mpaka niive, Legendary Pianist meets Upcoming

Good People, Good Music
Na hii ilikuwa ni siku ya Ijumaa ya tar 1, June 2012

6 comments:

stevie-u.s said...

Nyumbani Lounge raha ,

GK said...

karibu sana nyumbani,natamani nisikie unaimba i will always love you ya Withney Houston

Anonymous said...

Jide mie natamani sana kujifunza kuplay piano..naomba unielekeze mahali unapojifunzia....

Anonymous said...

Naamini muda si mrefu utakikung'uta kinanda. Natamani kuwepo siku ya kwanza utakapoipiga live. Wish you goodluck.

Isabella.

Boaz said...

YOU SHOULD BE HERE!!

Anonymous said...

I love u Jide.sijakuon ukiimba live tokea mwaka juzi.....lini live nije tufurahi pamoja?