Abdullah Ali Hassan Mwinyi pamoja na mkewe, muda mchache kabla ya kula kiapo
Picha za juu ni waalikwa mbali mbali waliokuwepo kushuhudia, ndugu jamaa na marafiki zao wakiapishwa kuwakilisha nchi zao katika Bunge la Afrika mashariki.
Nchi hizo zikiwa ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi
3 comments:
tuhabarishe Jide. hizi ni news fresh bado Hazijachakachuliwa. mpiga picha kazi nzuri :)
Huu ndiyo urafiki wa kweli naona hata imani za kisiasa zimewekwa kando safi kabisa, wengine wakiwa na mitizamo tofauti kwenye jambo hawawezi hata kusalimiana,waige huu mfano
Jide you have done a great job. I like your bloge, umeibadilisha imeleta muonekano murwa zaidi
Post a Comment