Sunday, June 17, 2012

IJUMAA CELEBRATION ZA BIRTHDAY NA PERFORMANCE YA MACHOZI BAND NYUMBANI LOUNGE

Mdau akiwa na Venture na Berna




Mkali wa keki Bi.Maggie, ambae pia ni member wa LA FAMILLE alinitolea kitu cha keki ya Piano
Ukitaka muundo wowote anafanya na unatokelezea
Mwanamke kujiajiri "Ujasiriamali"

 Barnaba akaimbisha wimbo, keki ikakatwa watu wakajinoma

Barnaba Boy alikuwepo kutusindikiza na kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Komandoo, alikamua ni balaa
Namfananisha na Lokua Kanza, "style yake ya muziki"
Nidhamu, kujituma na vingine vizuri pia amebarikiwa
 Always happy nikiwa na watu flani flani, Sab kulia kwangu

 
Raha ya nguo nzuri na ikikupendeza sio kulala nyumbani
Ni kutoka ili watu wakuone.
Hiyo ndio raha ya MACHOZI BAND, Flowers za kumwaga 
Good Music, Good People

2 comments:

Anonymous said...

Ulipendeza sana sana nimelyk.leon lee

Anonymous said...

Hasaaaaa!!!!!na pale mwanamke anapojua kuzitengeneza na kutunza nywele daaaaa,nywele imesimama