Sunday, June 17, 2012

JUMAMOSI YA TAR 16 PAKAWA NA BIRTHDAY YA GEMINI MWINGINE - ALIAMUA IFANYIKIE NYUMBANI LOUNGE

Ikapigwa Dinner ya watu 50 pale
Ndafu na keki vikakatwa watu wakajinoma ile mbaya

 Nadhani jina linaonekana kwenye Cake hapo juu





Ma superstar wa muziki wa Kizazi kipya kama Banana Zoro pia walihudhuria
Bob Junior rais wa Masharo Baro nae alitia timu
Baada ya hapo DJ Peter Moe, na Kelvin wakaliungurumisha mpaka asubuhi..... ni shangwe tuu hakuna kununa

No comments: