Sunday, June 17, 2012

LA FAMILLE GET TOGETHER DINNER @ NYUMBANI " NYEUPE NYEUPE ILITAWALA"

Kulikuwa na rahaajeee
Cute Smile na Leon Lee walijishindia Dollar 100
Baada ya kupita kwenye votes za watu kutaka wapige mabusu hadharani. Wakafunika
Wakaomba wachenjiwe wagawane hapo hapo kila mtu aendelee kuzitumbua usiku huo kwa raha zao
 Chezeaaaaa
 Da Joy ali pop in kusema Hellow

Washindi waliopendeza zaidi kutokana na kura za wana Famille no. 1 alikuwa ni Wise Monica Kaaya na no.2 alikuwa ni Ester Ulaya....walipata vijizawadi vidogo tu

Ila Party ijayo tutajitahidi pawepo na sponsors ili kuleta changamoto na kutoa Zawadi kubwa zaidi
Mwanzo mgumu

Ila kwa hicho kidogo kilichokuwepo kilichokuwepo kilinogajee
Picha ya pamoja LA FAMMILE
Waliohudhuria ni 1.Happy Happy, 2. Wanty 3. Sis 
4. Anna 5. Faraji 6. Marcell 7. GK 8. Cute Smile 

9. Leon Lee 10. Maggie 11. Monica 12. Mama Siyabonga a.k.a Boss Kitumbo 13. Pretty Dacha 14. Ester Ulaya 
15. Maggie na 16. Jide
Tukawa na msanii mpya wa Bongo Flava akamwaga cheche mtamfahamu hivi kaibuni


Pretty Dacha (ki model chetu) tunamtafutia Agency kama kuna mtu huko anahitaji chuma hiki hapa mkijaribu


 Maggie (Bi harusi mtarajiwa) na Marcell

 Leon Lee & Monica

 Anna & Happy
 Wanty & Ester Ulaya
 Melissa, Sis na Cute Smile
 Mwenye Black na white ni GK



 Washindi wa 1 na 2, Ester na Monica


Busu la 2012
Jumamosi ya tar 30 tukijaaliwa uhai
Tunakwenda kutembelea kituo cha watoto yatima walioandika barua kuomba msaada kwa LADY JAYDEE na friends

Kwa yoyote ambae hakuhudhuria La Famille Dinner
Na angependa kushiriki kutoa msaada tuwasiliane
e-mail: judyjaydee@yahoo.com

KUTOA NI MOYO

Tutaongozana na Bus la pamoja na mizigo yote itakabidhiwa kwa wahusika na haipitii mikononi mwangu

Asanteni kwa ushirikiano

WITH LOVE
JIDE

17 comments:

kai rooney said...

Mmetisha, tumemisije!!

Binti Sayuni said...

Mlipendeza sana wapendwa.

much love!

SIS said...

du wapendwa tulitokelezea mbayaaaaaaaaaaaaaaaa.
kila lakheri la familille.
j3 njema kwa wote na kazi njema pia.

Somebody Not Hater:.... said...

Jaman Cute smile na huyo mkaka wafall inlove kweli wamependezana wenyewe!...........

Anonymous said...

naomba contact za huyo leon na pia naomba kuingia kwenye familia yako.

cally said...

mmependeza wana familia. hongereni kwa kutuwakilisha vema...

Disminder orig baby said...

I miss you all La Familia.
ooh so sad nimekosa tena jamani but inshaAllah nikiwa nimerejea nitaungana nanyi katika hiyo safari ya kuona watoto. will holl you mamakeee.

wise monica kaaya said...

Tulitokezea hatariii big up la famille nawapenda saaaaannaaa

stellah-Tanga said...

jamani mmependezaje? missing u so much! naamin next event mungu akipenda tutakuwa pamoja, Jide my dear god bless u! One love

Anonymous said...

Tulipendeza sana jamani na tukuna gud time ilembaya thanx so much Mamy kwakuni prom

Pretty Dacha

Anonymous said...

2litisha mbaya.la familia idumu.thanx jide 4 everythng.leon lee

Ester Ulaya said...

Jide shukrani sanaaaaaaaa kwa upendo ulio nao kwetu, hii familia idumu zaidi, asante kwa zawadi pia, Familia oyeeeeeeeee

R.Ngaiza said...

Wivuuu, wivuu.com watu mlinogaje? Busu kwenu wapendwa wangu

happy happy said...

asiye na mama aeleke tofali....asante mama for the day....binafsi nilifurah sana tuliinjoy mno! U r such a good person mama Mungu akubariki!

diadora said...

Wote mna nyuso za furaha kuonyesha kwamba mlifurahia vilivyo Mungu adumishe umoja huu. Nimemiss tena hii aagh majukumu haya ila ijayo najua hata kama sitashiriki kimwili ila ninaweza kushiriki kwa kutoa mchango.

stevie-u.s said...

Huu umoja ni muhimu na siku zinavyoendelea unaanza kuonyesha mafanikio kama kuwatembelea na kusaidia yatima wazo zuri Jide.

Sophy said...

Mlipendeza sana wapendwa, nami naomba nijiunge na familia.