Friday, June 15, 2012

ZAWADI YA KWANZA NILIIPOKEA ILIPOGONGA SAA 6 USIKU BAADA YA TAR 14 JUNE

Zawadi ilikuwa ni kutoka kwa Swahiba wangu Peter
Tulikuwa wa nne ilipogonga saa 6 kamili usiku

Ni siku yangu kubwa sina budi kujidai 
"IT'S MY BIRTHDAY"
Ndio New Year kwangu
MUNGU ndio alieamua niwepo tena, namshukuru sana

Me, Ibra and Khadija "GOBOS United"


Mazuri machache ya kuwahusia ni haya:

Msivunjwe mioyo na waliokwisha vunjika mioyo
Maana hawana matumaini na hawatakuwa na busara za kuwashauri.

Msikatishwe tamaa na waliokwisha kata tamaa, maana hawakumbuki nyuma na mbele wanaona giza.
Mawazo na maneno yao yatakuwa ni ya kusitisha safari yako isifikie mafanikio

RESPECT TO MY MAMA "MARTHA MBIBO"
NI zaidi ya mwanamke.

Party itakuwa Nyumbani Lounge karibuni tujumuike
Chuma hakiunguzwi na moto wa Kiberiti
Ila kinapata moto tu

MUCH LOVE
JIDE

12 comments:

cally said...

hongera sana mpenzi. nakutakia maisha marefu yenye amani,furaha na upendo kwa wote wakupendao...furahia siku yako na wale uwapendao..

RUKY said...

JAMANI MANENO MAZURI NA YENYE KUTIA MOYO...HAPPY BIRTHDAY NA MOLA AKUPE AFYA NJEMA NA MAISHA MAREFU LOVE U FROM UK.

kai rooney said...

Happy birthday Judith. Mungu akupe maisha marefu na afya njema.

Binti Sayuni said...

Happy birthday to u dear!! May God shower you with his blessings.
Much love!

Ester Ulaya said...

Happy birthday Mamito, Much Luv to u

Eunice said...

happy birthday komandoo aka african whitney houston

annette said...

Happy bday love may you grow more wisely and stronger, live long and be blessed in whatever you do.

big love from
Annette

stevie-u.s said...

Happy Birthday Judith,mwenyezi mungu akujalie kila uombacho akujalie na akuepushe na kila uambacho akuepushie.Nice msg

Anonymous said...

HAPPY BIRTHDAY DADA JIDE,TUNAKUTAKIA MAISHA MAREFU,MWENYEZI MUNGU AKULINDE INSHALLAH!MUCH LOV.

Anonymous said...

nimependa msg yako xna jide! unanitia moyo!!!Happy birthday mdada MUNGU akupe nguvu!

Rachael

giselle ak. said...

Na mungu akupe maisha marefu sana jide yenye afya njema.usichoke kumuomba mungu kwa yale mahitaji yako ya moyo,hakika yeye ana njia nyingi tu za kukubariki.usisahau kutoa sadaka ni baraka sana ktk maisha yetu..kila la kheri mamii.

Anonymous said...

Happy Birthday Jide,Be blessed.