Monday, July 16, 2012

UKIJUA BOYYFRIEND KAFANYA PARTY NA KAALIKA GIRLS 10 KATIKA CHUMBA CHA HOTEL ANAMOLALA, UTAFANYAJE??? UTAMUACHA??



BASI NDIVYO LEWIS HAMILTON ALIVYOFANYA
LAKINI NICOLE KASEMA HATAMUACHA AJILI HIYO
ILA WAJUAJI WANASEMA ETI WATAACHANA
 

5 comments:

Anonymous said...

Ndio maana kila siku tunaambiwa ya wawili tuwaachie wenyewe......

Ila kwa mie sijui hata atanipa visingizio gani, kuwa wakaka wa kualikwa hawakupatikana kabisa wakaishia kuwa wadada tu?

Anonymous said...

mhhhhh itaniuma sana na kumuacha lazima

Anonymous said...

huyo ni kibutiiiiiiiii tu ktk hao kumi nitamuachia mmoja

Anonymous said...

Mtihani Mkubwa sana, inahitaji utulivu katika maamuzi

Anonymous said...

Mtihani mkubwa sana. ila inahitaji utulivu katika maamuzi