Wednesday, September 5, 2012

REDD'S MISS ILALA 2012 KUFANYIKA IJUMAA TAR 7 SEPTEMBER 2012



Shughuli itafanyika uwanja wa nje, kwenye Parking za TRANIC PLAZA/ NYUMBANI LOUNGE

VIP Ticket ni Tsh.50,000/= kila meza inakaa watu 8
Siti za kawaida ni Tsh.20,000/= zitauzwa mlangoni

Wasanii watakaopamba Usiku huo ni Ommy Dimpoz

Banana Zorro na B-BAND
 
 
 
Chege Chigunda 
 
 
Na baada ya hapo patakuwa na after Party itakayofanyika Nyumbani Lounge ndani
LADY JAY -DEE na MACHOZI BAND
Kwa kufungia usiku huo.
Karibuni

 

1 comment:

wise monica kaaya said...

Pamoja sana kitu cha Mwanayumba i hope ataonekana miss ilala